![]() |
2. Maombi sahihi ni maombi kwa MUNGU kupitia jina la YESU KRISTO.
3. Maombi sahihi ni maombi ya Imani katika jina la YESU KRISTO
4. Maombi sahihi ni maombi katika ROHO MTAKATIFU.
5. Maombi sahihi ni maombi sawa sawa na mapenzi ya MUNGU.
![]() |
Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya KRISTO amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. 2 Wakorintho 5:17
![]() |
![]() |
Bwana Yesu asifiwe mtu wa Mungu namshukuru Mungu kutupa kibali katika siku ya leo kujifunza neno la uzima nakukaribisha sana. Kila mw...
No comments:
Post a Comment