Tuesday, April 25, 2017

MAOMBI SAHIHI NI YAPI?



1. Maombi sahihi ni maombi kwa MUNGU yanayoambatana na utakatifu.

2. Maombi sahihi ni maombi kwa MUNGU kupitia jina la YESU KRISTO.

3. Maombi sahihi ni maombi ya Imani katika jina la YESU KRISTO

4. Maombi sahihi ni maombi katika ROHO MTAKATIFU.

5. Maombi sahihi ni maombi sawa sawa na mapenzi ya MUNGU.


No comments:

Post a Comment