Tuesday, April 25, 2017

KAZI YA IMANI KATIKA MAOMBI.



1. Inakuondolea hofu, Woga na mashaka ndani yako.
2. Inakufanya umwamini MUNGU.
Waebrania 11:8-12

3. Inakupa kushinda
Mathayo 9:22

4. Inakupa kuwa mwenye haki.
Habakuki 2:4

5. Imani inakupa Ulinzi.
1 Petro 1:5

Nyongeza ni hii.
Katika Agano la kale Neno ''Imani'' Linapatikana katika maandiko mawili tu yaani Kumb 32:20 na Habakuki 2:4 lakini matukio ya kumwamini MUNGU ni mengi sana sana na hayo yanaonyesha Imani hata kama Hakuna Neno Imani.

Siku moja Nitalifafanua somo hili la KAZI ZA IMANI KATIKA MAOMBI.
MUNGU akubariki.

No comments:

Post a Comment