THAMANI IDUMUYO: Thamani idumuyo: Ndugu katika Kristo usikubali kumuacha Yesu sababu ya chochote au jambo lolote ila acha vyote kwa ajiri ya uzuri wa Kristo.Yawezekana kwako kazi,Mali, pesa ,dhahabu, Mke, Mme,Watoto,shamba,mpenzi,elimu vinathamani kwako tambua Ipo Thamani isiyo haribika nayo ni Yesu au wokovu.Yesu ni thamani idumuyo.Ubarikiwe
Na Agnes Mwasambili
0769519697.
Friday, July 21, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment