Mwanadamu anatabia ya kubadilika waweza kuwa na rafiki akakusema vibaya,akakusengenya,akakusaliti au akakukataa au kukukana ndugu yawezekana mme,mke,mchumba,wazazi,watoto,ndugu au rafiki wamekuacha au kukusaliti elewa yupo rafiki wa kweli ambaye hajutii urafiki wenu ni mwaminifu mfariji wa kweli anakuwaazia mema hata kama wote watakuacha usiogope hawezi kukuacha kamwe shikamana naye,zungumza naye mshirikishe yale magumu unayopitia yupo tayari kukusaidia rafiki wa kweli ni YESU
Yohana 15:15
Na Agnes Mwasambili
0769519697
Saturday, July 22, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment