Saturday, July 22, 2017

Rafiki

Mwanadamu anatabia ya kubadilika waweza kuwa na rafiki akakusema vibaya,akakusengenya,akakusaliti au akakukataa au kukukana ndugu yawezekana mme,mke,mchumba,wazazi,watoto,ndugu au rafiki wamekuacha au kukusaliti elewa yupo rafiki wa kweli ambaye hajutii urafiki wenu ni mwaminifu mfariji wa kweli anakuwaazia mema hata kama wote watakuacha usiogope hawezi kukuacha kamwe shikamana naye,zungumza naye mshirikishe yale magumu unayopitia yupo tayari kukusaidia rafiki wa kweli ni YESU
Yohana 15:15
Na Agnes Mwasambili
0769519697

Friday, July 21, 2017

THAMANI IDUMUYO: Thamani idumuyo

THAMANI IDUMUYO: Thamani idumuyo: Ndugu katika Kristo usikubali kumuacha Yesu sababu ya chochote au jambo lolote ila acha vyote kwa ajiri ya uzuri wa Kristo.Yawezekana kwako kazi,Mali, pesa ,dhahabu, Mke, Mme,Watoto,shamba,mpenzi,elimu vinathamani kwako tambua Ipo Thamani isiyo haribika nayo ni Yesu au wokovu.Yesu ni thamani idumuyo.Ubarikiwe
Na Agnes Mwasambili
0769519697.